An bayYa na shi a matsayin "haramtaccen gwajin magani da ba a yi wa rajista ba," a "bayYa nai dai kamar cin zarafi ne a sa kamakon karancin sani wasu," da kuma "keta dokokin Najeriya da na ƙasa da ƙasa," gwajin magani riga-kafin Trovan a shekara ta 1996 da wani kamfanin harhada magunguna mai su na Pfizer Inc. ya maida wasu yaran Najeriya a tsohon garin Kano kamar matsayin za karun gwajin dafi.
Wani mawaki da ya juya zama mai wa'azi, Reverend Chris Okotie, ya cusa wa 'yan Najeriya gurguwar fahimta a watan Yulin da ya gabata kan illar cutar COVID-19, in da yake cewa wadanda su ka karbi allurar riga-kafi za su zama ma su siffofin ma su shan jinin. A cikin hirar bidiyo da a ka buga a ranar 12 ga watan Yuli na shekara ta 2020 a kan YouTube wanda sama da mutane dubu dari uku da saba'in da biyar suka kalla, Okotie ya bayyana allurar riga-kafin COVID-19 a matsayin shaidanci. Okotie, tsohon dan takarar shugaban kasa a Najeriya ya yi ikirarin na karya ne da maganganu da dama tun farkon barkewar cutar COVID-19 a 2020.
Ya zuwa ranar 10 ga watan Yuni na shekara ta 2021, Najeriya ta gwada samfuran cutar Coronavirus (COVID-19) sama da miliyan biyu tare da tabbatar da kamuwa da kwayar cutar ɗari da sittin kuma an samu mutuwar sama da dubu biyu, adadin ya na cigaba da ƙaruwa. Duk da wannan, da yawa daga cikin 'yan Najeriya sun cigaba da shakkar wanzuwar sabon al’amari a cikin ƙasar nan, tare da nuna cewa duk abin da ke cikin cutar an siyasantar da shi kuma wata hanya ce ga jami'an gwamnati ma su ɓarna don yin sata daga asusun jama'a. Mutanen da ke tunanin wannan ikirari sun yi imanin cewa abinda a ka ruwaito kan Covid-19 ba komai ba ne illa zazzabin cizon sauro.
You’ve probably heard the Covid story before. But have you heard it from the African perspective? We’ll hear the voices of people who don’t believe the virus exists. As well as those in the frontline of the battle to convince people that the whole thing isn’t a hoax.We’ll look at how misinformation, disinformation and downright lies have infected Kenya and Nigeria. The influence of religion, and foreign money.
While many people laughed at and brushed off the magnet videos, they were others who believed the fake claim leaving themselves and their loved ones to the mercies of contracting the virus.
We investigated a case study of a pastor preaching disinformation about Bill Gates and sinister global plots linked to the Covid-19 vaccinations as an example of the complicated role which international disinformation and conspiracy theories are playing in Nigeria, including shaping attitudes towards the Covid-19 vaccinations.
“Sikujihisi nikiwa na hali yoyote ya tofauti, hadi hapo baadaye nilipoaanza kuhisi kuchoka, nikaanza kuhisi uzito kwenye mkono wangu na nikahisi mwili wangu unahitaji kupumzishwa,” anaeleza. Huku akiongezea kwamba alihisi hali hii kwa siku mbili na baadaye akahisi kusikia nafuu.
Makaazi ya Kibera ni makaazi makubwa na duni zaidi nchini Kenya na ya pili yenye idadi kubwa ya wakaazi barani Afrika. Hali tunayokutana nayo ni kama ya makaazi mengine duni kwenye mji wa Nairobi; yenye viwango vya juu vya umasikini, ukosefu wa ajira unaoongezeka kila kukicha na ukosefu wa mahitaji muhimu na ya kila siku kama maji safi ya mfereji, huduma za nafuu za kimatibabu, usafi, makaazi ya sawa na stima.
Kampeini za kukataa kupeanwa kwa chanjo katika mitandao ya kijamii zimehitilafiana na jitihada za serikali kuzuia kuenea kwa ugonjwa wa Corona. Wakaazi kutoka jiji la Nairobi wanakubaliana na ripoti kuwa jumbe zinazowekwa kwenye mitandao ya kijamii zimeshawishi maamuzi yao kuhusiana na kuchukua au kukataa kwa chanjo dhidi ya ugonjwa huu.
“Habari za uwongo zingeniuwa kabla ya virusi vya Corona,” ananieleza Kibet Rono muathiriwa wa ugonjwa wa Covid-19 anaponieleza safari yake ya kupata afueni.
Madai kwamba dawa ya Remdesivir ni aina ya chanjo iliyotengenezwa kufanyiwa majaribio barani Afrika si ya kweli.
“Ni afadhali nipashwe chanjo kuliko ninywe chai ya majani chai au kufanya chochote kingine ambacho hakijahakikishwa na madaktari kitakacho nidhuru. Nakumbuka nilipokunywa chai ya majani chai ilinibidi niende hospitali kwa sababu ya shida niliyo nayo ya vidonda vya tumbo,” anasema Hahoya.
Kulingana na shirika la Africa Check habari potovu humu nchini zimesambaa kwa njia kadha wa kadha kama maudhui ya uwongo, kutapeliwa kwa jumbe, madai yenye upotovu na ya uwongo.
Ushauri wake ulitofautiana na misimamo ya Chama cha Kimatibabu cha Katholiki na jumbe kutoka mji wa Vatican. Vile vile ilipendekeza kutumiwa kwa njia ambazo zimesemekana kuwa za uwongo za matibabu kama dawa ya hydroxychloroquine na mvuke. Miezi miwili baada ya kuchapisha kwa waraka wake Daktari Karanja ameunga orodha ya wanaokataa chanjo waliofariki kutokana na ugonjwa wa Covid-19.
Editor’s note: It’s not that the jab is ineffective against the Delta variant. The problem is that 98% of people...
Some people Covid-19 is nothing but overhyped Malaria. Although there’s no empirical evidence to support this claim, the disinformation which was first made public by Chief Raymond Dokpesi, Chairman of Daar Communication and reechoed months later by Governor Yahaya Bello of Kogi State between May and August last year had been spreading like wildfire both on and offline in Nigeria.